March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Dkt.Shaimaa ateuliwa kwenda kwenye kura za maoni Viti maalum UVCCM

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Daktari Shaimaa Nawwar ,ameteuliwa kwenda kwenye kura za maoni Ubunge Viti Maalum kupitia Kundi la Vijana (UVCCM) 2025-2030.

Dkt.shaimaa amejikita katika mbinu mbadala za kutatua changamoto za kiuchumi kwa vijana, anakuja na mikakati ya kisasa hasa kuwatengenezea vijana fursa za ndani na njee ya Nchi kwa wenye Elimu na wasio na elimu Dr shaimaa anakuja na platforms tofauti tofauti zitakazowapa vijana kutambulisha vipaji, bunifu, na biashara zao, anakuja atahakikisha anatafuta Masoko ya uhakika kwaajili ya kuuza bidhaa za vijana ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Pia katika suala la Afya na uchumi huenda sambamba,