Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Latifa Khamis ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Biashara na Uchumi kutokana na mchango wake mkubwa katika kukuza biashara na diplomasia ya uchumi kati ya Tanzania na nchi nyingine.
Tuzo hiyo imetolewa na London Institute of Skills Development and Oxford Club kama uthibitisho wa juhudi, umahiri na mafanikio ya Dkt. Latifa katika kusimamia kwa ufanisi majukumu ya TanTrade, ambayo yamechochea maendeleo ya sekta ya biashara nchini na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa wa kiuchumi.

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako