Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi,Dkt.Pindi Chana(Mb) akiwa ameongozana na Naibu Waziri, Dunstan Kitandula (Mb) pamoja na Wakurugenzi mbalimbali kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake kukagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa inayotarajiwa kufanyika Machi 21,2025 Mkoani Njombe.



More Stories
Serikali inatambua uwepo wa Watumishi wachapa kazi na uweledi
DED Mweli:Tumeweka kipaumbele kusikiliza kero za wananchi
CHAKUWAHATA wawagusa wanafunzi wa kike