Na Mwandishi Wetu, Timesmajiraonline, Geita
KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC) Oganaisheni na Mjumbe wa Kamati Kuu, Issa Gavu amewasili mkoani Geita kwa ajili ya kuzindua rasmi Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji unaotarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Gavu amewasili mkoani Geita leo Novemba 20,2025 na baada ya kuwasili amefanya mazungumzo na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Geita kabla ya kuelekea katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi huo zitakazofanyika katika Viwanja vya Shilabela Geita Mjini.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi