Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kutoa elimu kwa Umma kuhusu majukumu, malengo na mafanikio ya Mamlaka hiyo hususan kuanzishwa kwa Moduli ya usimamizi wa malalamiko na rufaa kwa njia ya kieletroniki. Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa (Nane Nane), yanayoendelea Jijini Dodoma yalianza tarehe 01 – 10 Agosti, 2024. Banda la PPAA liko katika banda kuu la Wizara ya Fedha.


More Stories
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii