
Muonekano wa Kituo cha kupokea Kupoza na kusambaza Umeme kilichohengwa wilayani kilombero Ifakara kinatarajiwa kuzinduliwa Mei 31 na Dkt. Doto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati pamoja na Mhe. Christine Grau, Balozi wa Umoja wa Ulaya.
Kituo hicho kimejengwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa ufadhili wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) ambapo kukamilika kwake kumefanikisha Wilaya ya Kilombero, Ulanga na Malinyi kuwa na umeme wa uhakika.

More Stories
Madarasa 72 mapya kujengwa Ilemela
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ya wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi