Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Maafisa Fatuma Mapunda na Eliabu Rwabiyago kutoka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TanTrade) wapokea msafara wa wafanyabiashara kutoka Nchini Uturuki ikiwa na uwakilishi wa makampuni zaidi 31.
Msafara huo ni mahususi kwa ajili ya kuangalia fursa za kibiashara Nchini Tanzania Katika sekta mbalimbali kama Matunda na mbogamboga, Ujenzi, Ngozi, Mavazi, Bidhaa za misitu, vipuri vya magari, zana za kilimo.





More Stories
2030 Tanzania kifikia megawati 8,000 na megewati 70,000 ifikapo 2050
Msimu wa ununuzi wa ufuta Songwe ni Mei, miundo mbinu yaboreshwa
Tanzania yapiga hatua kibwa sekta ya Nishati