Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Maafisa Fatuma Mapunda na Eliabu Rwabiyago kutoka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TanTrade) wapokea msafara wa wafanyabiashara kutoka Nchini Uturuki ikiwa na uwakilishi wa makampuni zaidi 31.
Msafara huo ni mahususi kwa ajili ya kuangalia fursa za kibiashara Nchini Tanzania Katika sekta mbalimbali kama Matunda na mbogamboga, Ujenzi, Ngozi, Mavazi, Bidhaa za misitu, vipuri vya magari, zana za kilimo.




More Stories
Wasira :Tumeshafanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi,Chadema hawawezi zuia uchaguzi
Msichana Initiative,PWC wasisistiza umuhimu wa pedi bure kwa wasichanaÂ
Maagizo matano yatolewa kuongeza ufanisi kampuni ambazo serikali ina hisa chache