Wafanyakazi wa Chennai fertility centre and research (CFC) Wakiwa na daktari bingwa wa maswala ya Watoto wa kupandikiza Dr. Guatham Hanji, wakiwa katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya biashara (Sabasaba), wakiwakaribisha wananchi wote kutembelea katika Banda lao kupata huduma za afya ya uzazi (Test tube Babes) Maonesho hayo yalianza tarehe 1/7 na kumalizika tarehe 13/7 mwaka huu. (Picha na Mpiga picha wetu)
More Stories
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii