Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa mama mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana marehemu Regina Mlowe Mei 22, 2022 mkoani Iringa . Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana (wa kwanza kushoto) akishiriki ibada ya mazishi ya mama yake mzazi marehemu Bi. Regina Mlowe na (wa kwanza kulia) ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Marry Masanja iliyofanyika nyumbani kwa marehemu mtaa wa Chana mkoani Iringa. Baadhi ya Viongozi wa Serikali wakishiriki ibada ya mazishi ya mama mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana marehemu Regina Mlowe iliyofanyika nyumbani kwake mkoani Iringa . Mbunge wa Jimbo la Isimani Iringa Vijijini Mhe. William Lukuvi akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa mama mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana marehemu Bi. Regina Mlowe mkoani Iringa . Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana (katikati) akiwasili katika Kanisa la Romani Katoliki Mshindo lililopo mkoani Iringa kuhudhuria iabada ya mazishi ya mama yake mzazi marehemu Bi. Regina Mlowe aliyefariki Dunia Mei 19, 2022. Baadhi ya Viongozi wa dini katika Kanisa la Romani Katoliki Mshindo mkoani Iringa wakifanya ibada ya mazishi ya mama mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pundi Chana marehemu Bi. Regina Mlowe katika Kanisa hilo. Baadhi ya waombolezaji wakishiriki ibada ya mazishi ya mama mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pundi Chana marehemu Bi. Regina Mlowe katika Kanisa la Romani Katoliki Mshindo mkoani Iringa . Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga (wa kwanza kulia) anayefuata ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Marry Masanja wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mama mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana marehemu Bi. Regina Mlowe aliyezikwa katika makaburi ya Makanyagio Mei 22 , 2022 mkoani Iringa . Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. David Ernest Silinde akitoa salamu za Serikali wakati wa mazishi ya mama mzazi wa Waziri wa maliasili n autalii Mhe. Balozi. Dkt. Pindi chana aliyefariki Dunia Mei 19, 2022 na kuzikwa katika makaburi ya Mkanyagio Mei 22, 2022 mkoani Iringa. Post Views: 664 Continue Reading Previous Byabato:Serikali imejipanga kuondoa matumizi ya mkaa na kuni nchini,kulinda uhifadhi wa mazingiraNext Naibu Katibu Mkuu Mmuya: Tuendelee kujipanga kukabili maafa More Stories 2 min read Habari TASAC kuchunguza chanzo cha kupinduka na kuzama kwa MV.Clarias May 20, 2024 Judith Ferdnand 3 min read Habari Mpango atoa maelekezo 10 uboreshaji sekta ya Nyuki, aipongeza Wizara ya Maliasili May 20, 2024 Penina Malundo 1 min read Habari Dkt.Gwajima awataka wanawake kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi May 20, 2024 Penina Malundo
More Stories
TASAC kuchunguza chanzo cha kupinduka na kuzama kwa MV.Clarias
Mpango atoa maelekezo 10 uboreshaji sekta ya Nyuki, aipongeza Wizara ya Maliasili
Dkt.Gwajima awataka wanawake kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi