Na Waandishi Wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Magufuli amesema kuwa ataendelea kuwaamini wanawake katika nafasi mbalimbali za uongozi wake.
Ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akihutubia mkutano wa kwanza wa Bunge la 12.
”Nipende kuwambia wanawake Serikali yangu itaendelea kuwaamini na kuwapa nafasi mbalimbali za uongozi maana nimeona mnavyochapa kazi ndio maana hata Makamu wa Rais ni Mwanamke,”amesema Rais Magufuli.

More Stories
Madarasa 72 mapya kujengwa Ilemela
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ya wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi