Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Msafiri Mbibo akizungumza na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mpwapwa Sarah Komba wakati Naibu Kamishna Mkuu huyo alipomtembelea ofisini kwake ambapo alimshukuru kwa ushirikiano unaotolewa na uongozi mzima wa wilaya hiyo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania. Picha zote na Veronica Kazimoto Afisa Msimamizi wa Kodi wa Kituo cha Huduma za Kodi cha Kibaigwa kilichopo chini ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mohammedy Madebe akichangia hoja wakati Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Msafiri Mbibo alipotembelea kituo hicho kwa lengo la kuwapa hamasa watumishi kuendelea kufanya kazi kwa bidii na weledi katika ukusanyaji mapato ya Serikali. Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Mpwapwa Nelson Makweta akiwatambulisha watumishi wa TRA wilayani humo wakati Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Msafiri Mbibo alipowatembelea kwa lengo la kuwapa hamasa watumishi hao kuendelea kufanya kazi kwa bidii na weledi katika ukusanyaji mapato ya Serikali. Post Views: 1,406 Continue Reading Previous Kukamilika kivuko cha Ukara kutafungua uchumi wa UkereweNext Mgombea urais ADC aahidi kurejesha kiwanda cha kuzalisha gesi Mtwara More Stories 2 min read Habari Uboreshaji hospitali, kumepunguza rufaa kwa wagonjwa September 19, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari DC Mpogolo atangaza kiama wasio rudisha Bil.17 za Halmashauri September 19, 2024 Jackline Mkota 1 min read Habari Watumishi TASAF washiriki Mkutano wa Ufuatiliaji na Tathimini Zanzibar September 19, 2024 reuben kagaruki
More Stories
Uboreshaji hospitali, kumepunguza rufaa kwa wagonjwa
DC Mpogolo atangaza kiama wasio rudisha Bil.17 za Halmashauri
Watumishi TASAF washiriki Mkutano wa Ufuatiliaji na Tathimini Zanzibar