March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Rais Samia apokea ujumbe maalum kutoka kwa Putin,Urusi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Vladimir Putin uliowasilishwa kwake na Sergei Kiriyenko, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.