September 19, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Msanii amwaga machozi

Na Bakari Lulela, TimesMajira Online

WAKATI akitambulisha baadhi watu ambao wamefika katika shughuli ya kuwakumbuka na kuwasomea dua, ambao wametangulia mbele ya haki, Katibu wa Kamati ya Maandalizi WA shughuli hiyo, Ivone Shell amemwaga chozi baada ya kutaka watoto wa Maunda Zorro.

 Shughuli ya kuwaombea dua wasanii zaidi ya 250 ambao wametangulia mbele ya kwa miaka tofauti imefanyika Leo jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Leader.
 
“Nawaona watoto wa rafiki, ndugu yangu, Maunda Zorro ….. Choziii…. , Mungu awabariki sana na jambo hilo litaendelea na huu ni mwanzo,  hadi Sasa idadi ya wasanii wenzetu ambao wametangulia mbele ya haki ni zaidi ya 250 na tutaendelea kuondoka na hatujui nani baada ya hapa ataanza, amesema.