Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Daniel Fransisco Chapo Ikulu Mkoani Dodoma.

Uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa miaka na mikaka Serikali zote mbili ni marafiki kupitia vyama vya Ukombozi FRELIMO na TANU sasa CCM.

More Stories
Kampuni za Algeria zasaka wabia wa biashara nchini
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, yasogeza huduma kwa wananchi
Mil.214 zawanasua na mikopo ‘Kausha damu’ Ileje