Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Daniel Fransisco Chapo Ikulu Mkoani Dodoma.

Uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa miaka na mikaka Serikali zote mbili ni marafiki kupitia vyama vya Ukombozi FRELIMO na TANU sasa CCM.

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8