Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Daniel Fransisco Chapo Ikulu Mkoani Dodoma.

Uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa miaka na mikaka Serikali zote mbili ni marafiki kupitia vyama vya Ukombozi FRELIMO na TANU sasa CCM.
More Stories
Mtwange:Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini