Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Daniel Fransisco Chapo Ikulu Mkoani Dodoma.

Uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa miaka na mikaka Serikali zote mbili ni marafiki kupitia vyama vya Ukombozi FRELIMO na TANU sasa CCM.

More Stories
Wanawake waaswa kuwaelimisha mabinti kujiingiza katika shughuli za kiuchumi
Moto waua watatu wa familia moja Katavi
Wahariri waipongeza REA usambazaji wa Gesi Asilia Lindi,Pwani