Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan leo October 15,2023 amefungua Shule ya Msingi Imbele na shule ya Sekondari Mwanamwema kwa Niaba ya Shule Mpya 302 Zilizojengwa Nchi Nzima kupitia program ya BOOST na SEQUIP ambapo ametoa wito kwa Wazazi kuwapeleka wototo Shule.
Rais Dkt, Samia amezindua Shule hizo wakati wa Ziara ya Kikazi Mkoani Singida ambapo pia amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu na kumuandaa mtoto kuanzia awali mpaka elimu ya juu.







More Stories
Mch.Hananja awataka viongozi wa dini kuacha kutumia majukwaa ya kidini kwa kujitafutia umaarufu
Matiko atangaza nia ya kugombea Ubunge Kivule
TPTC kuendesha kozi ya Walinda Amani wa Kirai