Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto), akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, baada ya kumaliza mazungumzo yao Jijini Dodoma, ambapo Rais huyu wa AfDB yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku 3 kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka