Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto), akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, baada ya kumaliza mazungumzo yao Jijini Dodoma, ambapo Rais huyu wa AfDB yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku 3 kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
More Stories
Serikali yapongezwa uwekezaji mkubwa wa Kituo cha Kufua Umeme JNHPP
Airtel  yaimarisha mawasiliano vijiji Vitatu
DCB yazindua Kampeni ya ‘Tuma Bure, Shinda Kila Wiki’