March 8, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

OMO azindua timu itakayosimamia ushindi wake

Na Mwandishi wetu, Timesmajira

Mgombea wa Urais Zanzibar kupitia ACT Wazalendo Othman Masoud Othman leo amezindua Timu OMO kupitia Ngome za Vijana 100, Wazee 20 na ngome wa Wanawake 50 kila Jimbo ambao watasimamia ushindi wake, shuhuli hiyo imefanyika katika Ukumbi wavPica Dil kombeni Mkoa wa Mjini Unguja